Mara ngapi Umewahi mwaga kinywaji/kimiminika katika computer yako..?
kama tayari na kitu pekee kuharibika ilikuwa ni keyboard jihesabu mwenye bahati. Mara nyingi baadhi ya watumiaji wa kompyuta wamekuwa na tabia ya kuweka au kunywa vimiminika (vinywaji) mfano. Kahawa,chai,Soda,maji, bia,juisi katika meza wanazotumia kompyuta zao.
kama tayari na kitu pekee kuharibika ilikuwa ni keyboard jihesabu mwenye bahati. Mara nyingi baadhi ya watumiaji wa kompyuta wamekuwa na tabia ya kuweka au kunywa vimiminika (vinywaji) mfano. Kahawa,chai,Soda,maji, bia,juisi katika meza wanazotumia kompyuta zao.
Kwa bahati mbaya vimiminika na umeme havipatani. Suluhisho. Epuka kunywa au kuweka vimiminika karibu na kompyuta yako.
Fanya yafuatayo kama ukimwaga kiminika katika kompyuta yako. Zima haraka kisha Tenganisha kompyuta na umeme. kwa kuchomoa nyaya katika soketi za umeme. Kama ni desktop kompyuta fungua na utenganishe power supply na motherboard. Kama kuna majimaji. Pangusa/ futa kwa kitambaa kikavu au kama kitu ulichomwaga kina natanata unaweza tumia kitambaa kibichi kusiaidia kuondoa mabaki na kisha tumia kikavu.
Ukimaliza weka sehemu yenye hewa kwa muda wa siku 2 maka 3 ili kuruhusu unyevunyevu kutoka, hakikisha mpaka imekauka vizuri ndio unaweza kuwasha tena kompyuta yako.
Kama ni Laptop. Zima haraka kisha toa betrii na uiache
wakati unasubiri kupeleka kwa fundi.
0 comments:
Post a Comment